Quran Umaif

Quran Umaif

Share

U.M.A.I.F. (Ummul Muuminiina Aisha Foundation) Ni kituo kinachofundisha masomo ya dini ya kiislamu (madrasa) na mazingira kwa kina mama watu wazima na watoto

08/06/2026

Ujumbe wa Sheikh Kaporo

04/06/2026

ASALAM ALYKUM WARAHMATULLAH

Kwa mara ya 14 mfululizo tangu mnamo mwaka 2013 UMAIF imekuwa ikikuletea *Mashindano Makubwa ya Quran Tukufu kwa Wanawake Watu Wazima Kitaifa*

Mashindano haya kwa mwaka huu yatafanyika;
TAREHE 21.06.2026
SIKU YA J'PILI
UKUMBI DYCCC CHANG'OMBE
SAA 12:00 ASUBUHI MILANGO ITAKUWA WAZI.

HAKUNA KIINGILIO NI BUURE
"WAALIKWA NI WANAWAKE TU"

*"QURAN NI UPENDO"*

30/05/2026

"UKIMUELIMISHA MWANAMKE UMEIELIMISHA JAMII"

RAIS WA TUZO YA KIMATAIFA YA QURAN TUKUFU TZ *SHK OTHMAN ALI KAPORO* & M/KITI WA AISHA SURURU FOUNDATION (ASF) *BI AISHA SURURU*

Wanakualika ewe mdau wa Qur’an, Taasisi, Kampuni n.k kusapoti Mashindano Makubwa ya Quran Tukufu kwa Wanawake Watu Wazima Kitaifa msimu wa 14 yanayoandaliwa na UMMUL MUUMINIINA AISHA FOUNDATION yatakayofanyika Tar 21.06.2026 J'PILI Ukumbi DYCCC CHANG'OMBE Saa 1:00 hadi 7: Mchana chini ya Mratibu wake mkuu


.tz .hmwinyi

15/05/2026
15/05/2026

Hizi ndio sababu za kubadilisha baadhi ya Kanuni za mashindano katika mashindano ya Qur'an kwa wanawake watu wazima wa mara ya kwanza taasisi ya inaenda kuweka historia Tanzania kuanzisha Mashindano Makubwa ya Quran Tukufu Juzuu 30 na Tafsiri tena kwa Kinamama. Tukutane mchujo wa pili Tar 24 May 2026 na kilele cha Mashindano haya ni Tarehe 21, June, 2026 InShaaAllah. Milango ya udhamini ipo wazi wasiliana na Mratibu 0710 773 390

15/05/2026

Ostaadh Mohammed Samata akitoa utaratibu

15/05/2026

Mshiriki wa Mashindano ya Qur'an ya wanawake watu wazima Juzuu 20 mwaka 2026 akiwa katika mchujo wa kwanza

14/05/2026

Kwa mara ya kwanza taasisi ya inaenda kuweka historia Tanzania kuanzisha Mashindano Makubwa ya Quran Tukufu Juzuu 30 na Tafsiri tena kwa Kinamama. Tukutane mchujo wa pili Tar 24 May 2026 na kilele cha Mashindano haya ni Tarehe 21, June, 2026 InShaaAllah.

.niffer._

07/05/2026

*ASALAM ALYKUM WARAHMATULLAH*

*MCHUJO WA KWANZA*

ZIMEBAKI SIKU 3 TU

*"Jambo Limekuwa Jambo"* ni J'pili hii Tar 10.05.2026, saa 1:00 Asbh ktk Viwanja vya UMAIF BUGURUNI MAKUKULA siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wetu mbalimbali wa Qur’an.

UNAWEZA KUCHANGIA KILA IJUMAA KIASI CHA 1,000 AU ZAIDI ILI KUFANIKISHA MASHINDANO YA 14 YA QURAN TUKUFU KWA WANAWAKE WATU WAZIMA KITAIFA - TANZANIA 🇹🇿

NAMBA YA KUCHANGIA
0679 422 342 YAS
0758 422 342 M-PESA
JINA: UMMUL-MUUMINIINA AISHA FOUNDATION

Mubaarak
Share Status

🩷🩷🩷🩷🩷🩷🩷🩷🩷🩷🩷🩷

03/05/2026

Kaa tayari jambo kubwa linakuja InShaaAllah.

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Buguruni Kisiwani
Dar Es Salaam