01/03/2026
MASHINDANI YA QUR'AN {MBIF}
Assalaam Alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh!
Mwinyi Baraka Islamic Foundation {MBIF} inapenda kukuletea mwaliko wa Mashindano ya Qur'an tukufu kwa njia ya Taj-weed. Yatakayofanyika:
Mchujo; Tarehe 08/03/2026 saa 10:00 Asubuhi. Masjid Salami, Kijitonyama, Akachube Road Dar Es Salaam.
Finali: Tarehe 16/03/2026 01:00 Baada ya Adhuhuri.
Masjid Kijitonyama, Akachube Road Dar Es Salaam.
Share Taarifa Hii Kwa Kila Mtu 🙏🏾
18/02/2026
Mwenyezi Mungu ﷻ aifanye Ramadhan hii ya mwaka huu 2026 iwe ni sehemu ya kubadili maisha yetu, kutoka katika hali ya kujingikiwa na kugubikwa na Dunia badala yake tuwe ni miongoni mwa wenye kuwa na hamu ya kuipupia Akhera na kujikita kwemye vyanzo vyake.
25/11/2025
Ustadh M***a Qassim anatualika katika Shughuli yake ya maonesho ya vijana wake huko MIDIZINI inshaAllaah tumuitikie. 🙏🏽
25/11/2025
Imam Juma Farijala anatualika katika Shughuli yake ya kusherehekea Mazazi ya Bwana Mtume ﷺ huko kwake Mkolemba, Ukonga. Tumuitike Mzee wetu InshaAllaah.
Kwa Mawasiliano zaidi:
+255 623 733 335
12/10/2025
Ni siku ya Ijumaa 17.10.2025.
Karibuni nyote tumcheze Mtume.