Ng'apa secondary school

Ng'apa secondary school

Share

Ng'apa ni shule ya sekondari iliyopo kata ya ng'apa wilaya ya Lindi mjini. Ambayo ililianzishwa 2007.

09/12/2025
Photos from Ng'apa secondary school's post 09/12/2025

LIST YA VYUO NA MIKOA INAYOPATIALKANA πŸ‘‡

https://www.kazi.go.tz/uploads/documents/en-1764925677-Kiambatisho%20IV%20-%20VYUO%20VILIVYOPENDEKEZWA%20KUTOA%20MAFUNZO%20YA%20UANAGENZI-AWAMU%20YA%20NANE.pdf

LIST YA KOZI/MAFUNZO YANAYOTOLEWA KWA KILA CHUO πŸ‘‡

https://www.kazi.go.tz/uploads/documents/sw-1765011431-VYUO%20VILIVYOCHAGULIWA%20NA%20FANI%20ZILIZOKUBALIWA%20KUFUNDISHWA%20-%206.12.25.pdf

09/12/2025

KWA MAELEZO YA SAUTI KUHUSU, FURSA YA UFUNDI STADI.

VIDEO HII HAPA πŸ‘‡

Photos from Ng'apa secondary school's post 09/12/2025

FURSA FURSA FURSA KWA VIJANA

Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano imetoa Fursa kwa Vijana wetu kupata mafunzo ya Ufundi stadi Buru kabisa Bila Gharama yoyote katika kazi mbali mbali ikiwemo Ufumdi umeme wa Majumbani, Kuchomelea, Ushonaji na Mitindi, utengenezaji vipuri n.k

ADA NI BURE KABISA

Kutokana na hilo ninhewaasa vijana na wazazi kuchamkia Fursa hii maana bigezo vyake ni rahisi Kuanzia Elimu ya Darasa la Saba, Maisha ya sasa yanaitaji Ujuzi ili kukupa Nafasi ya kujitafuta na kujijenga Popote uwapo.

Masomo yataanza mnamo January 26, 2026.

SOMA VIZURI MAELEKEZO, UPAPAMBANIE NDOTO ZAKO SASA.

Nitapost pia vyuo na Course/kozi wanazotoa kila chuo cha ufundi.

NB: ADA SIO MAHITAJI

06/12/2025

WATAHINIWA WA KUJITEMEA HII YA KWENU KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026

06/12/2025

Welcome Ng'apa, Ukanda wa n**i bora.

Min**ini Boys and Min**ini Girls

20/10/2023

https://facebook.com/groups/1009102222953661/

You can join in ng'apa secondary school group to share more!

Fungua link hyo sas kwenda kweny group moja kwa moja.

Ahsante.

Ng'apa secondary school

Au bofya hapa chini πŸ‘‡.
NNg'apa Sec. SchoolSNg'apa Sec. SchoolNg'apa Sec. School SNg'apa Sec. School

Photos from Ng'apa secondary school's post 13/10/2023

KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 50, NECTA YAZINDUA ZOEZI LA UPANDAJI MITI MUFINDI

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) linatarajia kutimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake ifikapo mwezi Novemba mwaka huu. Ikiwa sehemu ya shughuli mbalimbali zitakazofanywa kuelekea kilele cha maadhimisho hayo, Baraza linakusudia kupanda miti zaidi ya 100,700 nchi nzima katika shule za Msingi na Sekondari pamoja na Vyuo vya Ualimu ifikapo Disemba, mwaka huu.

Taarifa hiyo ilitolewa na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dkt. Said Ally Mohamed wakati akizungumza na walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mufindi, Mkoani Iringa wakati akizindua zoezi la upandaji miti lililoshirikisha Shule ya Msingi ya Mtili β€œA” ambapo zaidi ya miti 3,200 ilipandwa.

Dkt. Mohamed alisema NECTA ni moja ya Taasisi ambayo ni mtumiaji mkubwa wa karatasi kwa ajili ya uendeshaji wa mitihani mbalimbali katika ngazi ya elimu Msingi, Sekondari na Vyuo vya Ualimu.

β€œKwa miaka mitano iliyopita, kuanzia mwaka 2018 hadi 2023, zaidi ya watahiniwa milioni 24 walisajiliwa kufanya mitihani mbalimbali. Watahiniwa hawa k**a ni Darasa la Saba, mmoja anafanya mtihani kwa masomo sita na kila mtihani unakuwa na karatasi ngapi, karatasi za majibu ngapi, ukijumuisha utaona tuna mahitaji makubwa ya karatasi,” alisema Dkt. Mohamed.

Pia, Katibu Mtendaji huyo alibainisha kuwa kila sensa ya watu inapofanyika nchini huonyesha kuwepo kwa ongezeko la watu. Kwa mfano, wakati sensa ya mwaka 2002 tulikuwa milioni 34.4, idadi ya watanzania iliongezeka na kufikia milioni 44.9 mwaka 2012. Aidha, sensa ilipofanyika mwaka jana idadi ya watu imeongezeka kufikia milioni 61.7. Katibu aliongeza kuwa idadi ya watu ikiongezeka maana yake kuna ongezeko la watahiniwa hivyo lazima Baraza lifikirie mipango ya maendeleo ya kiteknolojia ili kuboresha huduma kulingana na ongezeko la watahiniwa.

Katibu huyo aliongeza kuwa takwimu kidunia zinaonesha kuwa matumizi ya karatasi kwa miaka 40 iliyopita yameongezaka kwa zaidi ya asilimia 400. Ni muhimu kasi ya upandaji miti ikaongezwa kwani wakati miti bilioni 15 inakatwa kila mwaka kwa matumizi mbalimbali duniani, ni miti bilioni 1.9 tu ndiyo inayopandwa kwa mwaka.

β€œBaraza la Mitihani tukaona kupitia maadhimisho ya miaka 50, tuwaombe wadau katika vituo vyetu vya mitihani, katika shule za msingi, sekondari na Vyuo vya Ualimu wapande miti kwani k**a kila shule ikishiriki kupanda miti, tukaisimamia ukuaji wake tutakuwa tumefanya kitu kikubwa kwa nchi yetu na ulimwengu kwa ujumla,” alisema Dkt. Mohamed.

Katika hotuba yake, Dkt. Mohamed alishukuru Wakala wa Huduma za Misitu nchini (TFS) kwa kuwa tayari kutoa miche ya miti katika shule mbalimbali nchini katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka huu.

Aidha, Baraza limepanga kufanya Kongamano la Kitaaluma litakalofanyika Novemba 29 mwaka huu, Zanzibar, kuandika Kitabu cha Historia ya Baraza la Mitihani na kufanya maonesho katika viwanja vya Mn**i Mmoja kuanzia Novemba 30 hadi Disemba 3, mwaka huu kabla ya sherehe za kilele cha maadhimisho hayo zitakazofanyika katika ofisi za Baraza mnamo Desemba 4, mwaka huu.

12/10/2023

I remember in 1997 there was a German anchor by the name Nebuzburzimbeletbagkerimta since you skipped the name I will not tell you the whole story...πŸ˜…
.......
....
...
..
memes_time

Stay_turned here😘😍😘

πŸ“šπŸ“šπŸ“–

11/10/2023

Be blessed
...
..
.



.

10/10/2023

Hello guys!

I ask you to pray for our young brothers and sisters to do well in their national exams that are front of them!

Jaribu pia kuwapa moyo wa kufanya vizuri zaidi
...
.


Want your school to be the top-listed School/college in Lindi?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Lindi
023